2 Kings 11:4

4 aKatika mwaka wa saba, Yehoyada akatumania wakuu wa vikundi vya mamia, na Wakari,
Yaani Wakerethi (ona 1Sam 30:14; Eze 25:16; Sef 2:5, 6).
na walinzi, nao wakaletwa kwake katika Hekalu la Bwana. Alifanya agano nao na kuwaapisha katika Hekalu la Bwana. Ndipo akawaonyesha mwana wa mfalme.
Copyright information for SwhNEN